Mafundisho ya Neno la Mungu – Asubuhi

Mwl. Mgisa Mtebe

Scheduled on

Monday 09:00 10:00
Tuesday 09:00 10:00
Wednesday 09:00 10:00
Thursday 09:00 10:00
Friday 09:00 10:00
Saturday 09:00 10:00

Mwl. Mgisa Mtebe

Kipindi hiki kinakuletea mafundisho ya Neno la Mungu kutoka kwa walimu na watumishi mbali mbali. Haya ni mafundisho ya kipindi cha asubuhi yanayokujia kila siku kuanzia saa tatu hadi saa nne kamili asubuhi.

Unaweza kutuma sadaka yako itakayolipa gharama za kuandaa kipindi hiki ili kiendelee kuwa hewani kwa kubonyeza hapa palipoandikwa SADAKA 


Read more

Current track

Title

Artist

Background